Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu peke yake timu yake katika ushindi wa 4-1 dhidi ya West Brom leo Uwanja wa Emirates katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu England. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na kiungo Jack Wilshere, wakati la kufutia machozi la West Brom lilifungwa na beki, Gareth McAuley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ezekiel Elliott, Dalvin Cook's Best Landing Spots After 2024 NFL Draft Day 2
-
There were no running backs selected on Day 1 of the NFL draft, but after
teams secured their first-round picks, Day 2 saw XXX taken off the board.
XXXXX For…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment