Nahodha wa Chelsea, John Terry akiinua Kombe la ubingwa wa Ligi Kuu ya England leo baada ya mchezo dhidi ya Sunderland Uwanja wa Stamford Bridge leo ambao walishinda 3-1. Mabao ya Chelsea iliyojihakikishia ubingwa huo mapema mwezi huu yalifungwa na Lioc Remy mawili na Diego Costa moja kwa penalti baada ya John O'Shea kumchezea rafu Juan Cuadrado wakati bao la kufutia machozi la Sunderland lilifungwa na Steven Fletcher PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ezekiel Elliott, Dalvin Cook's Best Landing Spots After 2024 NFL Draft Day 2
-
There were no running backs selected on Day 1 of the NFL draft, but after
teams secured their first-round picks, Day 2 saw XXX taken off the board.
XXXXX For…
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment