Kiungo Frank Lampard akiwapigia makofi mashabiki wa Manchester City wakati anatoka uwanjani kumpisha Jesus Navas dakika ya 76 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Southampton Uwanja wa Etihad leo. City ilishinda 2-0, mabao yake yakifungwa na Lampard na Sergio Aguero. Hii ilikuwa mechi ya mwisho ya Lampard aliyekuwa kwa mkopo Man City kabla ya kurejea Marekani. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mathew Cudjoe wins Scottish Championship with Dundee United to seal Premier
League return
-
Matthew Cudjoe and his Dundee United side have clinched the Scottish
Championship title with one match remaining, thereby securing automatic
promotion to t...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment