Wachezaji wa Yanga SC wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Lobatse nchini Botswana jioni ya leo ambao utatumika kwa ajili ya mechi ya kesho ya marudiano Raundi ya Awali Kombe la Shirikisho la Afrika (CAF) dhidi ya wenyeji BDF XI. Yanga SC ilishinda 2-0 katika mchezo wa kwanza wiki iliyopita Dar es Salaam na kesho itahitaji hata sare kusonga mbele.
NFL Draft 2024: Round 1 Grades for Every Pick
-
The excitement for the 2024 NFL draft is palpable. It's not just fans,
whose hope for every draft pick knows no bounds. Even those within the
league are…
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment