• HABARI MPYA

    Friday, December 19, 2014

    BALOTELLI AFUNGIWA NA KUPIGWA FAINI ENGLAND

    MSHAMBULIAJI Mario Balotelli amefungiwa mechi moja na kutozwa faini ya Pauni 25,000 kwa kuvunja sheria za Chama cha Soka England kwenye mitandao ya kijamii.
    Mshambuliaji huyo wa Liverpool alikubali mashitaka ya FA wiki iliyopita na kuwasilisha utetezi juu ya picha aliyoposti kwenye ukurasa wake wa Instagram Desemba 1.
    Balotelli, sasa ataikosa mechi ya Ligi Kuu ya England dhidi ya Arsenal Jumapili na atatakiwa kuhudhuria darasa la kozi ya elimu na kuna uwezekano akachukuliwa hatua za kinidhamu na klabu yake pia, Liverpool. 
    Mario Balotelli has been fined, suspended and ordered to attend educational classes after a  social media post
    Mario Balotelli amepigwa faini na kufungiwa mechi moja bada ya kuposti upuuzi kwenye mitandao ya kijamii
    Balotelli's ban comes in reaction to the
    Balotelli pictured in action for Liverpool during the defeat against Manchester United
    Balotelli amefungiwa baada ya kuposti picha tata kushoto hiyo katika Instagram yake
    Balotelli immediately received criticism upon uploading the post, and rejected the responses
    Mara baada ya kuanza kukandiwa kwa picha hiyo, Balotelli haraka sana akaposti maneno hata
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BALOTELLI AFUNGIWA NA KUPIGWA FAINI ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top