• HABARI MPYA

    Tuesday, November 25, 2014

    IRENE UWOYA ALIVYOJIACHIA NA MUMEWE KATAUTI RWANDA

    Mwigizaji Irene Uwoya akiwa na mumewe, Hamad Ndikumana 'Katauti' mjini Kigali, Rwanda wakati akimsindikiza Uwanja wa Ndege kurejea Dar es Salaam. Irene alimtembelea mumewe mjini humo wiki iliyopita. Habari zaidi na Picha Nenda; http://www.rwandapals.com/nyuma-yibihe-byiza-bagiranye-katauti-yaherekeje-umugore-we-oprah-asubira-tanzania-amafoto/

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: IRENE UWOYA ALIVYOJIACHIA NA MUMEWE KATAUTI RWANDA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top