Luis Suarez (kushoto) na Lionel Messi (kulia) wakiingia mazoezini leo na timu yao Barcelona Uwanja wa Camp Nou, baada ya jana kufungwa 3-2 na PSG katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya mjini Paris
Kikosi cha Barcelona ambacho kilikuwa hakijafungwa chini ya kocha mpya, Luis Enrique kinajiandaa na mchezo wa La Liga mwishoni mwa wiki dhidi ya Rayo Vallecano
0 comments:
Post a Comment