MWANARIADHA mlemavu, Oscar Pistorius amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela baada ya kukutwa na hatia ya kumpiga bastola na kumuua bila kukusudia mpenzi wake, Reeva Steenkamp.
Pistorius alimuua mpenzi wake huyo katika siku ya Wapendano ya mwaka 2013 wakati alipopiga bastola kupitia mlango wa bafuni na kumpiga binti Steenkamp. Pia amesimamishwa kwa miaka mitatu.
Kijana huyo mwenye umri wa miaka 27 wakati wote amekuwa akikana alifikiri anampiga bastola mpezni wake huyo.
Oscar Pistorius akiwa ameshikwa na Polisi wakati akitlewa Mahakama Kuu ya Pretoria nchini Afrika Kusini kwenda kutumikia kifungo chake
Pistorius, kulia, akiwa na mpenzi wake Steenkamp Novemba mwaka 2012 kabla ya kifo chake
PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/article-2801293/oscar-pistorius-sentenced-five-years-prison-manslaughter-girlfriend-reeva-steenkamp.html#ixzz3GlfeUpKV
0 comments:
Post a Comment