YANGA SC imevunja Mkataba wa kupitishia malipo ya ada za wanachama wake Benki ya Posta na kuingia Mkataba mpya wa aina hiyo na beki ya CRDB.
Viongozi wa Yanga SC na CRDB wanakutana na Waandshi wa Habari muda huu kutangaza ndoa yao hiyo mpya baada ya klabu hiyo kuachana na benki ya Posta waliyoingia nayo Mkataba Juni mwaka huu.
Sababu za Yanga kufikia uamuzi huo, ni baada ya kuona benki ya Posta imeshindwa kuwafanya wafikie malengo yao waliyojiwekea na kwamba katika mkataba wao, kulikuwa kuna kipengele cha kuuvunja iwapo malengo hayatafikiwa. Benki ya Posta iliingia Mkataba wa aina hiyo na Simba SC pia. TAARIFA ZAIDI ITAFUATIA.
Viongozi wa Yanga SC na CRDB wanakutana na Waandshi wa Habari muda huu kutangaza ndoa yao hiyo mpya baada ya klabu hiyo kuachana na benki ya Posta waliyoingia nayo Mkataba Juni mwaka huu.
Sababu za Yanga kufikia uamuzi huo, ni baada ya kuona benki ya Posta imeshindwa kuwafanya wafikie malengo yao waliyojiwekea na kwamba katika mkataba wao, kulikuwa kuna kipengele cha kuuvunja iwapo malengo hayatafikiwa. Benki ya Posta iliingia Mkataba wa aina hiyo na Simba SC pia. TAARIFA ZAIDI ITAFUATIA.
0 comments:
Post a Comment