• HABARI MPYA

    Sunday, September 21, 2014

    DIEGO COSTA NA ZABALETA HADI MIKE DEAN AKATOA KADI NYEKUNDU


    Mshambuliaji wa Chelsea, Diego Costa akiwekeana mkwara na Pablo Zabaleta wa Manchester City, ambaye mwishowe alitolewa kwa kadi nyekundu na refa Mike Dean katika mchezo wa Ligi Kuu ya England baina ya timu hizo jioni ya leo Uwanja wa Etihad uliomalizika kwa sare ya 1-1.Pablo Zabaleta is shown a second yellow card by referee Mike Dean after going through Diego Costa in the second half
    Pablo Zabaleta akionyeshwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njani na Mike Dean baada ya kumchezea rafu Diego Costa kipindi cha pili
    Zabaleta was given a standing ovation from City fans as he walked off the pitch following his second yellow card
    Zabaleta akiondoka uwanjani baada ya kadi nyekundu
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DIEGO COSTA NA ZABALETA HADI MIKE DEAN AKATOA KADI NYEKUNDU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top