• HABARI MPYA

    Sunday, April 20, 2014

    SHAMRASHAMRA ZA UBINGWA AZAM FC JANA, ILIKUWA RAHA

    Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ukurugenzi ya Azam FC, Abubakar Bakhresa akiwa na Kombe la ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana katika chumba maalum ndani ya Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Azam 
    Mwenyekiti wa Azam FC, Sheikh Said Mohammed katikati akiwa na Kombe
    Mjumbe wa Bodi ya Ukurugenzi ya Azam FC akiwa ameshika taji hilo na rafiki yake kulia
    Mjumbe wa Bodi ya Ukurugenzi, Omar Bakhresa akiwa ameshika Kombe
    Yussuf Bakhresa akiwa ameshika Kombe kwa pamoja na mwanawe na Mweka Hazina wa Azam FC, Karim Mapesa kushoto
    Watoto wa Wakurugenzi wakifurahia na Kombe
    Wachezaji wa Azam FC wakijiandaa kukabidhiwa Kombe
    Rais wa TFF, Jamal Malinzi akimvalisha Medali kocha wa Azam, Mcameroon, Joseph Marius Omog
    Malinzi akimvalisha Medali mtoto wa mshambuliaji wa Azam FC, Gaudence Mwaikimba
    Mashabiki wakifurahia jana Uwanja wa Azam Complex
    Wadau mbalimbali wa Azam FC wakifurahia jana Uwanja wa Azam Complex

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SHAMRASHAMRA ZA UBINGWA AZAM FC JANA, ILIKUWA RAHA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top