• HABARI MPYA

    Friday, June 22, 2012

    YONDAN AANZA MAZOEZI YANGA LEO ASUBUHI LEO






    Kelvin Patrick Yondan, beki wa kimataifa wa Tanzania, ameanza mazoezi rasmi leo katika klabu yake mpya, Yanga SC. Yondan alitinga maeozini asubuhi na kushangiliwa ile mbaya na mashabiki wa klabu hiyo Uwanja wa Kaunda, Jangwani, Dar es Salaam. Picha tofauti zikimuonyesha Yondan mazoezini nYanga.

    ULIMI HAUNA MFUPA...

    Gazeti hili limetoka leo
    ULIMI HUU HAUNA HATA MISULI...

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YONDAN AANZA MAZOEZI YANGA LEO ASUBUHI LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top