• HABARI MPYA

    Friday, June 22, 2012

    USAILI WAENDELEA JANGWANI

    Zoezi la usaili linaendelea katika klabu ya Yanga hivi sasa…tazama picha mbalimbali za zoezi hilo. Hapa ni wazee wa klabu hiyo...

    Kamati ya Uchaguzi kazini 

    Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Yanga, Ridhiwani Kikwete kulia na Mwenyekiti wake Jaji John Mkwawa kushoto wakiendelea na kazi

    Ramadhani Mzimba 'Kampira' akiondoka baada ya usaili

    Hamisi Kiiza (kulia) akizungumza na rafiki yake Abdulsamad


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: USAILI WAENDELEA JANGWANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top