Zoezi la usaili linaendelea katika klabu ya Yanga hivi sasa…tazama
picha mbalimbali za zoezi hilo. Hapa ni wazee wa klabu hiyo...
|
Kamati ya Uchaguzi kazini |
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Yanga, Ridhiwani Kikwete kulia na Mwenyekiti wake Jaji John Mkwawa kushoto wakiendelea na kazi |
Ramadhani Mzimba 'Kampira' akiondoka baada ya usaili |
Hamisi Kiiza (kulia) akizungumza na rafiki yake Abdulsamad |
0 comments:
Post a Comment